Thursday, 10 July 2014

Mwonekano wa mbele wa ujenzi jengo la Hosipitali ya Wilaya kata ya Kihonda.
Mstahiki Meya Mh. Amiri J. Nondo akifungua na kuongea na Wakandarasi walioshinda Zabuni ya Ujenzi wa Barabara ambapo katika Hafla hiyo Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro amesisitiza kuwa ujenzi huu utafanyika kwa kiwango cha Lami katika barabara zake zilizopo katikati ya mji na pembezoni. Katika hafla hiyo pia ilihudhuriwa na Viongozi wa Chama Tawala CCM ikiwa ni moja ya juhudi za kufuatilia ilani ya Uchaguzi ya Chama Tawala.

No comments:

Post a Comment