Mstahiki Meya wa Manispaa ya Morogoro Mh. Amiri J. Nondo akiwa na waheshimiwa Madiwa na wakuu wa Idara katika ukaguzi wa ujenzi wa Hosipitali ya Wilaya inayojengwa kata ya Kihonda. Ujenzi huu wa Hosipitali ni awamu ya kwanza hivyo itakua ikitoa huduma kwa wagonjwa wa nje "Out patients". Hizi zote ni juhudi za Mstahiki Meya pamoja na baraza la Madiwani na Mkurugenzi Wa Manispaa ya MorogoroBw Jervis A. Simbeye pamoja na wakuu wa Idara na Vitengo katika kuboresha huduma ya afya ndani ya Manispaa ya Morogoro.Jengo hili litakabidhiwa hivi karibuni.

No comments:
Post a Comment